DobsFoundation  DobsFoundation Author
Title: Mechi Simba na Yanga yamkasirisha Nape
Author: DobsFoundation
Rating 5 of 5 Des:
Waziri wa wa habari bwana Nape Nnauye achukizwa na kitendo cha wafuasi wa Simba waliong'oa viti baada ya kufungwa goli lililowakasirisha...

Waziri wa wa habari bwana Nape Nnauye achukizwa na kitendo cha wafuasi wa Simba waliong'oa viti baada ya kufungwa goli lililowakasirisha.
1. Maamuzi ya nape ni  kuwa Simba na Yanga hawatatumia tena uwanja wa taifa hadi hapo itakapoamriwa
2. Simba watafidia gharama zilizotokana na uharibifu huo.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top