DobsFoundation  DobsFoundation Author
Title: Taarifa kuhusu tukio la moto uliozuka ghafla huko Kagera
Author: DobsFoundation
Rating 5 of 5 Des:
Maelezo ya kitaalamu kutoka kwa Prof. Mluma Abdulkarim mtendaji mkuu wa wakala wa Geologia nchini.   ANASEMA "Kilichotokea ni maozo y...

Maelezo ya kitaalamu kutoka kwa Prof. Mluma Abdulkarim mtendaji mkuu wa wakala wa Geologia nchini.

  ANASEMA

"Kilichotokea ni maozo ya mbolea ndio yameshika moto na kuunguza Uoto wa asili.
Hakuna mpasuko wala dalili zozote za volcano...! "

Shuhuda kutoka eneo la tukio
ANASEMA
"Binafsi nimepita pale nikaona Ni tukio la kawaida labda wananchi wajitahidi tu kuuzima moto make utasambaa kwa kasi"

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top