DobsFoundation  DobsFoundation Author
Title: Ukosefu wa mabasi stendi ya ubungo
Author: DobsFoundation
Rating 5 of 5 Des:
Hali ya ukosefu magari stendi ya ubungo jijini Dar es Salaam bado ni tete ambapo magari yamejaa na abiria bado wapo wengi. Watu wanahaha hu...

Hali ya ukosefu magari stendi ya ubungo jijini Dar es Salaam bado ni tete ambapo magari yamejaa na abiria bado wapo wengi.

Watu wanahaha huku magari mengine yakiwa hayana nafasi hadi siku ya jumatatu. Abiria wa Morogoro wamepanga mstari katika milango ya ofisi za BM Coach ambapo wameahidiwa watasafiri

Ofisi zingine zimefungwa kabisa huku matangazo yakiwa yamewekwa mlangoni kuwa hakuna nafasi Leo, kesho n.k.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top