1. Malalamiko Yanayotolewa Na Baadhi Yao Yanaonesha Kwamba, Muda Wa Kumaliza Tendo Huwa Kati Ya Nusu Dakika Na Dakika Tatu Kwa Tendo La Kwanza, Huku Wengine Wakimaliza Hamu Katika Hatua Za Awali Tu Za Hamasa Ya Kimahaba.
2. Hata Hivyo, Kumetolewa Maelezo Na Nafuu Ya Ongezeko La Muda Katika Tendo La Pili Na Kuendelea, Ingawa Bado Suala La Kutangulia Kufika Kileleni Kabla Ya Wanawake Limekuwa Likiwahuzunisha Wanaume Wengi.
3. Ni Ukweli Usiopingika Kuwa, Mwanaume Anapowahi Kufika Kileleni Kabla Ya Mwenzake Humsababishia Kero Mwanamke Anayeshiriki Naye Tendo, Kwani Humwacha Njia Panda Pasipokuwa Na Hitimisho La Raha Ya Kujamiiana.
4. Hali Hii Inatokana Na Maumbile Ya Uume Wa Mwanaume Ambao Husinyaa Mara Baada Ya Kuhitimisha Mbio Zake, Lakini Kwa Mwanamke Kuwahi Si Tatizo, Kwani Hakumfanyi Ashindwe Kumsindikiza Mwenzake Hadi Kileleni.
5. Utofauti Huu Ndiyo Unaowafanya Wanaume Wahuzunike Zaidi Wanapokabiliwa Na Janga Hilo Kiasi Cha Kufikia Hatua Ya Kwenda Kwa Waganga/Matabibu Ili Iwasaidie Kuepuka Balaa Ya Kutoka Uwanjani Na Aibu.
6. Ingawa Kumekuwa Na Mafanikio Katika Tiba Za Kisayansi, Lakini Bado Wanaume Wameshindwa Kupata Ukombozi Wa Kudumu Wa Tatizo Hili. Wengi Wamejikuta Wakijiongezea Mzigo Wa Fikra Kwa Kuzitumaini Zaidi Dawa Au Kuzitumia Na Kupata Matokeo Mabaya Zaidi Ya Kuishiwa Nguvu Kabisa.
7. Kwa Kufahamu Mikinzamo Iliyopo Kati Ya Akili Na Tiba Ya Nguvu Za Kiume Na Madhara Yachipukiayo Imebainika Kuwa, Mtu Anaweza Kujitibu Tatizo Hilo Kwa Kutumia Kanuni Za Kisaikolojia Na Mafanikio Yasiyo Na Madhara Yakapatikana.
Wataalamu Wa Kisaikolojia Wanatambua Kuwa Kanuni Ya Ufanyaji Mapenzi Iko Zaidi Kwenye Ubongo Kuliko Mwilini.
8. Kinachotokea Hadi Mtu Akapata Msisimko Wa Kufanya Mapenzi Si Mwitikio Wa Mwili, Bali Ni Utambuzi Wa Akili Juu Ya Kiwango Cha Mapenzi Kilichopokelewa Kwenye Ubongo Unaojihusisha Na Hisia.
FAHAMU VYAKULA VINAVYOONGEZA NGUVU.....
Kuna Aina 2 Ya Vyakula Ambavyo Vimefanyiwa Utafiti Na Kubaini Kuwa Ni Moja Ya Vyakula Vinavyosaidia Kuongeza Nguvu Za Kiume Na Havina Madhara Katika Engezeko La Nguvu Za Kiume, Katika Vyakula Hivyo Vyenye Uwezo Wa Kuongeza Nguvu Za Kiume Kiasili Ni:
1. TANGAWIZITangawizi Ni Moja Ya Chakula Kinachoweza Kurejesha Nguvu Za Kiume, Unaweza Kuichemsha Tangawizi Na Ukatumia Kwa Kuinywa Kama Chai Asubuhi, Mchana Na Jioni Pia Tangawizi Unaweza Ukaitumia Katika Mchanganyiko Wa Kiasili Kwa Kutumia Asali,Kitunguu Saumu Na Tangawizi Yenyewe.
JINSI YA KUTUMIA MCHANGANYIKO HUU:
Chukua Tangawizi Na Kitunguu Saumu Vitwange Kisha Vichanganye Na Asali Pamoja Na Unga Wa Habat Soda Na Uwe Unakunywa Mchanganyiko Huu Kwa Kutumia Kijiko Cha Chai Kimoja Kutwa Mara 3 Kwa Muda Wa Wiki Moja Na Utaona Mabadiliko.
2. TIKITI MAJI:
-Chakula Kingine Kinachosaidia Katika Upande Wa Kuongeza Nguvu Za Kiume Ni Tunda La Tikiti Maji, Unaweza Ukachukua Tikiti Lako Ukalikata Na Kutengeneza Juice Ya Tikiti Kisha Unakunywa Ila Sio Lazima Utengeneze Juice Hata Lenyewe Tu Unaweza Ukalila. Ila Jitahidi Kutumia Tunda Hili Hata Kila Siku Kwani Linasaidia Sana Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu Za Kiume.
Si lazima utumie chemicals tumezungukwa na suluhisho ya matatizo mbalimbali kwa kutumia matunda na mbogamboga ............Jaribu ujionee.....
Asante sana kwa elimu nzuri
ReplyDeletehuo mchanganyiko unaweka asali kiasi gani na habit soda kiasi gan? Afu wachanganya na maji au na kam wachanganya na maji ni kias gan?
ReplyDeleteChanganya na asali. Kadiria kama ni gm 200 za saumu na tangawizi 200 pamoja na haabbat souda changanya la asali inayozidi kidogo vitu hivyo uji uwe mzito na uendelee kutumia.
ReplyDeleteHuo mchanganyiko unatumia kulamba au unachukua Kijiko unaweka kwenye maji ya vuguvugu?
Deleteje naweza kutumia mafuta ya haabbat souda au ni lazima iwe ya unga?
DeleteSasa hizi habart soda mbona sio unga ni mbegu sasa je tunasaga ili tupate unga au hata hivyo hivyo zinafaa
ReplyDeleteHabat sawda ni unga au mafuta
ReplyDeleteWenye ushahidi juu ya hii tiba waje watupe mrejesho
ReplyDeleteHiyoo mixer ni balaa sana usipime mimi huwa natumia daily yaani dushelele linawamba balaaa.
DeleteNimekuelewa vzr sana nitakutumia hii njia
ReplyDeleteAsante ni kujaribu
ReplyDeleteNa je ninaweza tumia hata habat sauda ya maji ktk mchanganyiko huo?
ReplyDeleteMh,
ReplyDeleteTunakushukuru kwa hili tatizo la dawa yako huna vipimo
Hiyo mixture ni shidaah wazee ni kiboko naitumia daily mm
ReplyDeleteIla inahitaji uizoee maana kama yakera hivi harufu yake.
DeleteSasa tangawizi naweka maji au na makamfi yake
ReplyDeleteUnga wa habati ndo ukoje na unapatikana wap
ReplyDeleteKwenye maduka ya viungo vya chakula au asili
DeleteMwenye ushuhuda wa huo mchanganyiko
ReplyDeleteKwenye maduka ya viungo vya chakula au asi
ReplyDeleteNataka ufafanuzi zaidi kuhusiana mchaganyiko huu
ReplyDeleteJe ukitumia unga kitunguu saumu
ReplyDeleteUnga wa kitunguu saumu unafaa ktk mchanganyiko huo
ReplyDeleteIyo habat soda nawez kuipata wap
ReplyDeleteNAHITAJI DARASA LAKE NAOMBA NAMBA YANGU 0625882652
ReplyDelete